Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Mithali 14:20-25 in Swahili (individual language)

Help us?

Mithali 14:20-25 in Biblia ya Kiswahili

20 Mtu masikini huchukiwa hata na marafiki zake, bali watu matajiri wanamarafiki wengi.
21 Yeye ambaye huonyesha dharau kwa jirani yake anafanya dhambi, bali yule ambaye huonyesha fadhila kwa masikini anafuraha.
22 Je wale wanaofanya njama mbaya hawapotei? Bali wale wenye mpango wa kutenda mema watapokea agano la uaminifu na udhamini
23 Katika kazi zote ngumu huja faida, bali palipo na maongezi tu, huelekea kwenye umasikini.
24 Taji ya watu wenye busara ni utajiri wao, bali upuuzi wa wapumbavu huwaletea upuu zaidi.
25 Shahidi mkweli huokoa maisha, bali shahidi wa uongo hupumua uongo.
Mithali 14 in Biblia ya Kiswahili