Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Mithali 14:11-15 in Swahili (individual language)

Help us?

Mithali 14:11-15 in Biblia ya Kiswahili

11 Nyumba ya waovu itaangamizwa, bali hema ya watu waaminifu itasitawi.
12 Kuna njia ambayo huonekana sawa kwa mtu, lakini mwisho wake huelekea mauti tu.
13 Moyo unaweza kucheka lakini bado ukawa katika maumivu na furaha inaweza kukoma ikawa huzuni.
14 Yule asiyemwaminifu atapata anachostahili kwa njia zake, bali mtu mwema atapata kilicho chake.
15 Yeye ambaye hakufundishwa huamini kila kitu, bali mtu mwenye hekima huzifikiria hatua zake.
Mithali 14 in Biblia ya Kiswahili