5 Mipango ya wale watendao haki ni adili, bali shauri la mwovu ni udanganyifu.
6 Maneno ya watu waovu ni uviziaji unaosubiri nafasi ya kuua, bali maneno ya mwenye haki yatawatunza salama.
7 Watu waovu wametupwa na kuondolewa, bali nyumba ya wale watendao haki itasimama.