Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Mithali 10:7-12 in Swahili (individual language)

Help us?

Mithali 10:7-12 in Biblia ya Kiswahili

7 Mtu atendaye haki anatufurahisha tunapomkumbuka, bali jina la mwovu litaoza.
8 Wale wenye akili hukubali maagiza, bali mpumbavu mwenye maneno mengi ataangamia.
9 Yeye anayetembea katika uadilifu hutembea katika usalama, bali yule anayepotosha njia zake, ataonekana.
10 Yeye ambaye hukonyeza kwa jicho lake huleta majonzi, bali mpumbavu mwenye maneno mengi atatupwa chini.
11 Kinywa cha mwenye kutenda haki ni kama chemchemi ya maji ya uzima, bali kinywa cha uovu hufunikwa kwa jeuri.
12 Chuki huchochea mafarakano, bali upendo hufunika juu ya makwazo yote.
Mithali 10 in Biblia ya Kiswahili