Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Mhubiri 6:4-6 in Swahili (individual language)

Help us?

Mhubiri 6:4-6 in Biblia ya Kiswahili

4 Hata mtoto huyo amezaliwa bila faida na anapita katika giza, na jina lake linabaki limefichika.
5 Ingawa mtoto huyu haoni jua au kujua kitu chochote, ana pumziko ingawa mtu huyo hakupumzika.
6 Hata kama mtu akiishi miaka elfu mbili lakini hajifunzi kufuraia vitu vizuri, aenda sehemu moja kama mtu yeyote yule.
Mhubiri 6 in Biblia ya Kiswahili