Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Mambo ya Walawi 8:30-32 in Swahili (individual language)

Help us?

Mambo ya Walawi 8:30-32 in Biblia ya Kiswahili

30 Musa akatwaa sehemu ya mafuta ya upako na damu iliyokuwa juu ya madhabahu; naye akayanyunyiza haya juu ya nguo za Aroni, juu ya nguo zake mwenyewe na juu ya nguo za wana wa Aruni waliokua pamoja naye. Kwa njia hii alimtenga Aroni na nguo zake, na wanawe na nguo zao kwa ajili ya Yahweh.
31 Kwa hiyo Musa akawambia Aruni na wanawe, “Ipikeni nyama mbele ya ingilio la hema la kukutania, na hapo mtaila pamoja na mkate ulio kwenye kikapu cha kuwekwa wakfu, kama ilivyoamriwa, kusema, 'Aroni na wanawe wataila.'
32 Masalio yoyote ya nyama na mikate utayateketeza kwa moto.
Mambo ya Walawi 8 in Biblia ya Kiswahili