Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Mambo ya Walawi 8:16-18 in Swahili (individual language)

Help us?

Mambo ya Walawi 8:16-18 in Biblia ya Kiswahili

16 Akachukua mafuta yote yaliyokuwa sehemu za ndani, kile kiwambo cha ini, zile figo mbili pamoja na mafuta yake, Musa akaichoma hiyo nyama yote juu ya madhabahu.
17 Lakini yule fahali, ngozi yake, nyama yake na kinyesi chake, akavichoma nje ya kambi, kama vile Yehweh alivyokuwa amemwamru yeye.
18 Musa akamleta yule konndoo dume kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa, naye Aroni na wanawe wakaweka mikono yao juu ya kichwa cha huyo kondoo.
Mambo ya Walawi 8 in Biblia ya Kiswahili