Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Mambo ya Walawi 7:36-37 in Swahili (individual language)

Help us?

Mambo ya Walawi 7:36-37 in Biblia ya Kiswahili

36 Huu ndio mgao ambao Yahweh aliamru waweze kupewa kutoka kwa watu wa Israeli, katika siku hiyo aliyowatia mafuta ya upako wawe makuhani. Nao utakuwa mgao wao wa kila siku katika vizazi vyote.
37 Hii ndiyo sheria ya sadaka ya kuteketezwa, ya sadaka ya nafaka, ya sadaka ya dhambi, ya sadaka ya hatia, ya sadaka ya kuweka wakfu, na ya dhabihu, ya sadaka za amani,
Mambo ya Walawi 7 in Biblia ya Kiswahili