Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Mambo ya Walawi 7:35-36 in Swahili (individual language)

Help us?

Mambo ya Walawi 7:35-36 in Biblia ya Kiswahili

35 Huu ndiyo mgao wa Aroni na uzao wake utokanao na matoleo yaliyofanywa kwa Yahweh kwa moto, siku ile Musa alipowaweka wakfu ili kumtumikia Yahweh katika kazi ya kuhani.
36 Huu ndio mgao ambao Yahweh aliamru waweze kupewa kutoka kwa watu wa Israeli, katika siku hiyo aliyowatia mafuta ya upako wawe makuhani. Nao utakuwa mgao wao wa kila siku katika vizazi vyote.
Mambo ya Walawi 7 in Biblia ya Kiswahili