Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Mambo ya Walawi 25:5-8 in Swahili (individual language)

Help us?

Mambo ya Walawi 25:5-8 in Biblia ya Kiswahili

5 Hamtasimamia mavuno yoyote ya mazao ya mizabibu iliyojiotesha yenyewe katika mashamba yenu ya mizabibu isiyokatiwa matawi. Huu utakuwa mwaka wa pumziko lenye utulivu kwa ardhi.
6 Chochote ardhi isiyofanyiwa kazi itakachotoa wakati wa Sabato ndicho kitakuwa chakula chako. Wewe mwenyewe, watumwa wako wa kiume na wa kike, watumishi wako wa kuajiriwa na wageni wanaoishi pamoja nawe mnaweza kujikusanyia chakula.
7 Na wnyama wako wa kufugwa na wanyama pori waweze kula chochote ardhi itoacho.
8 Ni lazima kwenu kuhesabu Sabato saba za miaka, yaani, saba mara miaka saba, ikifanya jumla ya miaka arobaini na tisa.
Mambo ya Walawi 25 in Biblia ya Kiswahili