Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Mambo ya Walawi 25:29-30 in Swahili (individual language)

Help us?

Mambo ya Walawi 25:29-30 in Biblia ya Kiswahili

29 Ikiwa mtu anauza nyumba iliyo kwenye mji uliozungushiwa ukuta, naye anaweza kuinunua tena ndani ya mwaka baada ya kuuzwa. kwa kuwa, kwa mwaka mzima atakuwa na haki ya ukombozi.
30 Kama nyumba hiyo haitakombolewa kabla ya mwaka mzima, ndipo hiyo nyumba iliyoko kwenye mji uliozungushiwa ukuta itakuwa mali ya kudumu ya yule aliyeinunua, katika vizazi vyote vya uzao wake. Nyumba hiyo haitakuwa ya kurejeshwa katika mwaka wa Yubile.
Mambo ya Walawi 25 in Biblia ya Kiswahili