Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Mambo ya Walawi 25:2-4 in Swahili (individual language)

Help us?

Mambo ya Walawi 25:2-4 in Biblia ya Kiswahili

2 “Zungumza na watu wa Israeli na uwaambie, “Mtakapoingia katika nchi ambayo ninawapa, kisha hiyo nchi lazima ifanywe iwe ya kuishika Sabato kwa ajili ya Yahweh.
3 Ni lazima mtapanda mazao yenu kwa miaka sita, na kwa miaka sita mtaikatia matawi mizabibu yenu na kukusanya mazao yake.
4 Lakini katika mwaka wa saba, Sabato ya pumziko la utulivu kwa nchi itashikwa, ni Sabato kwa Yahweh. Hamtapanda mashamba yenu wala kuikatia mizabibu yenu matawi yake.
Mambo ya Walawi 25 in Biblia ya Kiswahili