Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Mambo ya Walawi 24:12-14 in Swahili (individual language)

Help us?

Mambo ya Walawi 24:12-14 in Biblia ya Kiswahili

12 Wakamweka kizuizini mpaka Yahweh mwenyewe atakapotangaza mapenzi yake kwao.
13 Kisha Yahweh akamwambia Musa,
14 “Mchukue nje ya kambi huyo aliyemlaani Mungu. Wale wote waliomskia wataweka mikono yao juu ya kichwa chake, na kisha kusanyiko lote watamponda kwa mawe.
Mambo ya Walawi 24 in Biblia ya Kiswahili