Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Mambo ya Walawi 23:12-13 in Swahili (individual language)

Help us?

Mambo ya Walawi 23:12-13 in Biblia ya Kiswahili

12 Siku ile mtakapoliinua lile fungu la masuke ya nafaka na kulileta kwangu, itawabidi kutoa mwana—kondoo dume wa mwaka mmoja na asiye na dosari awe sadaka ya kuteketezwa kwa Yahweh.
13 Matoleo ya nafaka yatakuwa sehemu za kumi za efa za unga laini uliochanganywa na mafuta, uwe matoleo yaliyofanywa kwa moto kwa Yahweh, ili kutoa harufu nzuri ya kupendeza, pamoja na hiyo kutakuwa na matoleo ya kinywaji ya divai, moja ya nne ya hini.
Mambo ya Walawi 23 in Biblia ya Kiswahili