Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Mambo ya Walawi 22:8-10 in Swahili (individual language)

Help us?

Mambo ya Walawi 22:8-10 in Biblia ya Kiswahili

8 Asile mzoga wowote uliookotwa au mnyama aliyeraruliwa na wanyama pori, ambaye kwake atajitia unajisi. Mimi ndimi Yahweh.
9 Ni lazima makuhani wafuate maagizo yangu, ama sivyo watakuwa na hatia ya dhambi na wangeweza kufa kwa kunitia unajisi. Mimi ndimi Yahweh ninayewafanya wao watakatifu.
10 Hakuna mtu kutoka nje ya familia ya kuahani, wakiwemo wageni wa kuhani au watumwa wake wa kuajiliwa, atakayeweza kula kitu chochote kilicho kitakatifu.
Mambo ya Walawi 22 in Biblia ya Kiswahili