Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Mambo ya Walawi 17:7-9 in Swahili (individual language)

Help us?

Mambo ya Walawi 17:7-9 in Biblia ya Kiswahili

7 Ni lazima watu wasitoe tena dhabihu zao kwa sanamu za mbuzi, ambazo kwazo hutenda kama makahaba. Hili litakuwa agizo la kudumu kwa ajili yao katika vizazi vya watu wao vyote.
8 Ni lazima uwaambie, 'Mtu yeyote wa Israeli, au Mgeni yeyote aishiye miongoni mwao, atoweye dhabihu
9 na asiilete kwenye ingilio la hema la kukutania ili kuitoa kwa Yahweh, mtu huyo ni lazima akatiliwe mbali kutoka kwa watu wake.'
Mambo ya Walawi 17 in Biblia ya Kiswahili