Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Mambo ya Walawi 11:38-40 in Swahili (individual language)

Help us?

Mambo ya Walawi 11:38-40 in Biblia ya Kiswahili

38 Lakini kama maji yanawekwa juu ya mbegu, na kama sehemu ya mzoga unaangukia juu yake, nazo zitakuwa najisi kwenu.
39 Iwapo mnyama yeyote awezaye kuliwa anakufa, naye yeyote amgusaye atakuwa najisi hata jioni.
40 Na yeyote alaye chochote cha mzoga huo atalazimika kufua nguo zake naye atakuwa anjisi hata jioni. Na yeyote aokotaye mzoga kama huo atafua nguo zake na kuwa najisi hata jioni.
Mambo ya Walawi 11 in Biblia ya Kiswahili