Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Isaya 1:15-20 in Swahili (individual language)

Help us?

Isaya 1:15-20 in Biblia ya Kiswahili

15 Hivyo basi mnapotawanya mikono yenu kitkika maombi, sitawangalia hata kama mkiomba sana, sitawasikiliza; mikono yenu imejaa damu.
16 Jiosheni, jitakaseni wenyewe; ondoeni matendo maovu mbele ya macho yangu; acheni kutenda dhambi;
17 jifunze kutenda mema; tafuta ukweli; msiwanyanyase, wapeni haki yatima, walindeni wajane.''
18 Njooni sasa, njooni tusemezane, asema Yahwe, japokuwa dhambi zenu ni nyekundu kama bendera zitakuwa nyeupe kama theluji; japokuwa ni myekundu kama damu zitakuwa kama sufi.
19 Kama utakubali na kutii, utakula mema ya nchi,
20 lakini ukikataa na kugeuka, upanga utakuangamiza, maama Yahwe amesema.
Isaya 1 in Biblia ya Kiswahili