Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Hesabu 15:20-22 in Swahili (individual language)

Help us?

Hesabu 15:20-22 in Biblia ya Kiswahili

20 Kutoka kwenye mikate yenu ya kwanza mtatoa mkate wa kuinuliwa kama sadaka iliyoinuliwa kutoka mahali pa kupuria nafaka. Mtaiinua kwa jinsi hii.
21 Watu wa uzao wako wote wtanitolea sadaka ya kuinuliwa kutoka kwenye unga wenu wa kwanza.
22 Wakati mwingine mtafanya dhambi pasipo kukusudia, Kama hamtatii amri zote hizi ambazo nimemwambia Musa
Hesabu 15 in Biblia ya Kiswahili