Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

1Wafalme 4:1-5 in Swahili (individual language)

Help us?

1Wafalme 4:1-5 in Biblia ya Kiswahili

1 Mfalme Sulemani alikuwa mfalme wa Israeli.
2 Hawa ndio waliokuwa wakuu wake: Azaria mwana wa Sadoki alikuwa kuhani.
3 Elihorefu na Ahiya mwana wa Shisha, walikuwa makatibu. Yehoshafati mwana wa Ahilui alikuwa mwandishi.
4 Benaya mwana wa Yehoyada alikuwa mkuu wa jeshi. Sadoki na Abiatahari walikuwa makuhani.
5 Azaria mwana wa Natahani ndiye aliyekuwa juu ya hawa maakida. Zabudi mwana wa Nathani alikuwa kuhani na rafiki wa mfalme.
1Wafalme 4 in Biblia ya Kiswahili