Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 94

Zaburi 94:8-15

Help us?
Click on verse(s) to share them!
8Tambueni, ninyi watu wajinga! Enyi wapumbavu, mtajifunza lini?
9Yeye aliye liumba sikio, hasikii? Yeye aliye litengeneza jicho, haoni?
10Yeye awaadhibuye mataifa, hayuko sahihi? Yeye ndiye ampaye maarifa mwanadamu.
11Yahwe anayajua mawazo ya wanadamu, kuwa ni mvuke.
12Amebarikiwa yule ambaye umuongozaye, Yahwe, yule ambaye wewe humfundisha kutoka katika sheria yako.
13Wewe humpa pumziko wakati wa shida mpaka shimo litakapokuwa limechimbwa kwa ajili ya waovu.
14Maana Yahwe hatawaacha watu wake wala kutelekeza warithi wake.
15Kwa kuwa tena hukumu itakuwa ya haki; na wote walio wanyoofu wa moyo wataifuata.

Read Zaburi 94Zaburi 94
Compare Zaburi 94:8-15Zaburi 94:8-15