Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 94

Zaburi 94:12-16

Help us?
Click on verse(s) to share them!
12Amebarikiwa yule ambaye umuongozaye, Yahwe, yule ambaye wewe humfundisha kutoka katika sheria yako.
13Wewe humpa pumziko wakati wa shida mpaka shimo litakapokuwa limechimbwa kwa ajili ya waovu.
14Maana Yahwe hatawaacha watu wake wala kutelekeza warithi wake.
15Kwa kuwa tena hukumu itakuwa ya haki; na wote walio wanyoofu wa moyo wataifuata.
16Ni nani atainuka kunitetea dhidi ya watendao uovu? Ni nani atasimama dhidi ya waovu kwa ajili yangu?

Read Zaburi 94Zaburi 94
Compare Zaburi 94:12-16Zaburi 94:12-16