Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 91

Zaburi 91:13-16

Help us?
Click on verse(s) to share them!
13Utawaangamiza simba na nyoka chini ya miguu yako; utawakanyaga wana-simba na nyoka.
14Kwa sababu amejitoa kwangu, nitamuokoa. Nitamlinda kwa sababu yeye ni mwaminifu kwangu.
15Aniitapo, nitamjibu. Katika shida nitakuwa naye; nitampatia ushindi na nitamuheshimu.
16Nitamtosheleza kwa maisha malefu na kumuonesha wokovu wangu.

Read Zaburi 91Zaburi 91
Compare Zaburi 91:13-16Zaburi 91:13-16