Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 90

Zaburi 90:7-11

Help us?
Click on verse(s) to share them!
7Hakika, tumeangamizwa kwa hasira yako, na gadhabu yako inatuogopesha sana.
8Umeudhihirisha uovu wetu mbele zako, na dhambi zetu zilizofichika katika nuru ya uwepo wako.
9Uhai wetu unatoweka chini ya gadhabu yako; Miaka yetu inapita haraka kama pumzi.
10Miaka yetu ni sabini, au themanini tukiwa na afya; lakini hata hivyo miaka yetu mizuri imetiwa alama ya taabu na huzuni. Ndiyo, inapita haraka, kisha tunatoweka.
11Ni nani ajuaye kiwango cha hasira yako, na ghadhabu yako ambayo iko sawa na hofu yako?

Read Zaburi 90Zaburi 90
Compare Zaburi 90:7-11Zaburi 90:7-11