Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 90

Zaburi 90:5-9

Help us?
Click on verse(s) to share them!
5Huwafagia kama vile kwa mafuliko nao hulala; na wakati wa asubuhi wako kama majani yameayo.
6Asubuhi yachipuka na kumea; jioni yakatika na kukauka.
7Hakika, tumeangamizwa kwa hasira yako, na gadhabu yako inatuogopesha sana.
8Umeudhihirisha uovu wetu mbele zako, na dhambi zetu zilizofichika katika nuru ya uwepo wako.
9Uhai wetu unatoweka chini ya gadhabu yako; Miaka yetu inapita haraka kama pumzi.

Read Zaburi 90Zaburi 90
Compare Zaburi 90:5-9Zaburi 90:5-9