Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 90

Zaburi 90:4-5

Help us?
Click on verse(s) to share them!
4Kwa maana miaka elfu machoni pako ni kama jana ipitapo, na kama saa wakati wa usiku.
5Huwafagia kama vile kwa mafuliko nao hulala; na wakati wa asubuhi wako kama majani yameayo.

Read Zaburi 90Zaburi 90
Compare Zaburi 90:4-5Zaburi 90:4-5