Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 89

Zaburi 89:45-48

Help us?
Click on verse(s) to share them!
45Umefupisha siku za ujana wake. Umemfunika kwa aibu. Selah
46Mpaka lini, Yahwe? utajificha, milele? Mpaka lini hasira yako itawaka kama moto?
47Oh, fikiria jinsi muda wangu ulivyo mfupi, na ni kwa ajili gani umewaumba wana wote wa wanadamu wasio na manufaa!
48Ni nani aweza kuishi na asife, au atakaye iokoa nafsi yake dhidi ya mkono wa kuzimu? Selah

Read Zaburi 89Zaburi 89
Compare Zaburi 89:45-48Zaburi 89:45-48