Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 89

Zaburi 89:41-45

Help us?
Click on verse(s) to share them!
41Wapita njia wote wamemuibia, amekuwa kitu chenye kinyaa kwa majirani zake.
42Umeinua mkono wa kuume wa adui zake; umewafurahisha adui zake wote.
43Umeyageuza makali ya upanga wake. Na hukumfanya asimame awapo vitani.
44Umeimaliza fahari yake; umekitupa ardhini kiti chake cha enzi.
45Umefupisha siku za ujana wake. Umemfunika kwa aibu. Selah

Read Zaburi 89Zaburi 89
Compare Zaburi 89:41-45Zaburi 89:41-45