Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 84

Zaburi 84:1-2

Help us?
Click on verse(s) to share them!
1Ni jinsi gani maskani yako yapendeza, Ewe Yahwe wa Majeshi!
2Ninashauku ya kuingia nyumbani mwa Yahwe, nimechoka sana kwa sababu ninatamani sana kuwa nyumani mwako. Moyo wangu na mwili wangu wote wakuita wewe Mungu uliye hai.

Read Zaburi 84Zaburi 84
Compare Zaburi 84:1-2Zaburi 84:1-2