Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 83

Zaburi 83:14-16

Help us?
Click on verse(s) to share them!
14Kama moto uteketezao msitu, na kama miali ya moto iwakayo milimani.
15Uwafuatie kwa tufani yako, na kuwafadhaisha kwa dhoruba yako.
16Uwajaze nyuso zao kwa aibu ili kwamba waweze kulitafuta jina lako, Yahwe.

Read Zaburi 83Zaburi 83
Compare Zaburi 83:14-16Zaburi 83:14-16