Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 80

Zaburi 80:6-12

Help us?
Click on verse(s) to share them!
6Umetufanya kitu kwa ajili ya majirani zetu kubishania, na maadui zetu hucheka kuhusu sisi kati yao.
7Mungu wa majeshi, uturejeshe sisi; nasi tutaokolewa.
8Wewe ulileta mzabibu kutoka Misri; ukawafukuza mataifa na ukaupanda.
9Uliisafisha ardhi kwa ajil yake; nao ulipata mzizi na kuijaza nchi.
10Milima ilifunikwa kwa kivuli chake, mierezi ya Mungu kwa matawi yake.
11Ilieneza matawi yake mbali kama bahari na mashina yake mpaka kwenye Mto Euphrates.
12Kwa nini umezibomoa kuta zake hata wapitao karibu huyachuma matunda yake.

Read Zaburi 80Zaburi 80
Compare Zaburi 80:6-12Zaburi 80:6-12