Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 80

Zaburi 80:5-14

Help us?
Click on verse(s) to share them!
5Umewalisha wa mkate wa machozi na umewapa machozi ili wanywe katika kiasi kikubwa.
6Umetufanya kitu kwa ajili ya majirani zetu kubishania, na maadui zetu hucheka kuhusu sisi kati yao.
7Mungu wa majeshi, uturejeshe sisi; nasi tutaokolewa.
8Wewe ulileta mzabibu kutoka Misri; ukawafukuza mataifa na ukaupanda.
9Uliisafisha ardhi kwa ajil yake; nao ulipata mzizi na kuijaza nchi.
10Milima ilifunikwa kwa kivuli chake, mierezi ya Mungu kwa matawi yake.
11Ilieneza matawi yake mbali kama bahari na mashina yake mpaka kwenye Mto Euphrates.
12Kwa nini umezibomoa kuta zake hata wapitao karibu huyachuma matunda yake.
13Ngurue wa msituni wanauharibu, na wanyama wa kondeni wanaula.
14Urudi, Ee Mungu wa majeshi; kutoka mbinguni utazame chini na uuangalie na kuujali huu mzabibu.

Read Zaburi 80Zaburi 80
Compare Zaburi 80:5-14Zaburi 80:5-14