Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 7

Zaburi 7:5-10

Help us?
Click on verse(s) to share them!
5Ikiwa sisemi ukweli basi umruhusu adui yangu kuyaingilia maisha yangu na kuyaharibu; na umuache aukanyage mwili wangu ulio hai kwenye aridhi na kuuacha umelala kwa aibu mavumbini. Selah
6Inuka, Yahweh, katika hasira yako; simama kinyume na hasira kali ya adui zangu; amka kwa ajili yangu na ubebe amri zako ambazo wewe umeamuru kwa ajili yao.
7Mataifa yote yamekuzunguka; uwatawale kutoka mbinguni.
8Yahweh, uwahukumu mataifa; uwaonyeshe kuwa sina hatia, Yahweh, kwa sababu mimi ni mwenye haki na sina hatia, Ewe uliye juu.
9Matendo ya waovu na yafike mwisho, bali uanzishe watu wenye haki, Mungu mwenye haki, wewe ambaye unapima mioyo na fahamu.
10Ngao yangu inatoka kwa Mungu, yule anaye okoa moyo wa mwenye haki.

Read Zaburi 7Zaburi 7
Compare Zaburi 7:5-10Zaburi 7:5-10