Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 7

Zaburi 7:14-15

Help us?
Click on verse(s) to share them!
14Fikiria kuhusu huyo ambaye ana ujauzito wa maovu, mwenye mimba ya mipango ya uharibifu, anaye zaa sumu ya uharibifu.
15Yeye huchimba shimo na kuliacha wazi kisha baadaye hudumbukia katika shimo alilochimba mwenyewe.

Read Zaburi 7Zaburi 7
Compare Zaburi 7:14-15Zaburi 7:14-15