Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 79

Zaburi 79:9-10

Help us?
Click on verse(s) to share them!
9Utusaidie, Mungu wa wokovu wetu, kwa ajili ya utukufu wa jina lako; utuokoe na usamehe dhambi zetu kwa ajili ya jina lako.
10Kwa nini mataifa yalazimike kusema, “Mungu wao yuko wapi?” Damu ya watumishi wako ambayo ilimwagwa na ilipize kisasi juu ya mataifa mbele ya macho yako.

Read Zaburi 79Zaburi 79
Compare Zaburi 79:9-10Zaburi 79:9-10