Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 78

Zaburi 78:10-14

Help us?
Click on verse(s) to share them!
10Hawakutunza agano na Mungu, na walikataa kutii sheria yake.
11Walisahau matendo yake, mambo ya ajabu ambayo yeye amewaonesha wao.
12Walisahau mambo ya ajabu aliyofayafanya machoni pa mababu zao katika nchi ya Misri, katika ardhi ya Soani.
13Aliigawa bahari na akawaongoza katikati ya bahari; aliyafanya maji yasimame kama kuta.
14Wakati wa mchana aliwaongoza kwa wingu na usiku wote kwa nuru ya moto.

Read Zaburi 78Zaburi 78
Compare Zaburi 78:10-14Zaburi 78:10-14