Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 76

Zaburi 76:5-10

Help us?
Click on verse(s) to share them!
5Wenye moyo shujaa walitekwa nyara; walilala mauti. Mashujaa wote walikuwa wanyonge.
6Kwa kukemea kwako, ewe Mungu wa Yakobo, wote gari na farasi walilala mauti.
7Wewe, ndiyo wewe, ni wa kuogopwa; ni nani awezaye kusimama mbele yako wakati ukiwa na hasira?
8Kutoka mbinguni wewe uliifanya hukumu yako isikike; nchi iliogopa na ikaa kimya
9wakati wewe, Mungu, ulipoinuka kutekeleza hukumu na kuwaokoa wote wa nchi walio onewa. Selah
10Hakika hukumu ya hasira yako dhidi ya binadamu itakuletea wewe sifa; wewe hujifunga mwenyewe hasira yako iliyo baki.

Read Zaburi 76Zaburi 76
Compare Zaburi 76:5-10Zaburi 76:5-10