Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 75

Zaburi 75:6-9

Help us?
Click on verse(s) to share them!
6Sio kutoka mashariki au magharibi, na wala sio kutoka jangwani ambako kuinuliwa kunakuja.
7Bali Mungu ni muhumkumu; humshusha huyu na kumuinua huyu.
8Kwa kuwa Yahwe kashikilia mkononi mwake kikombe cha mvinyo wenye povu, ambao umechanganywa na vilolezo, naye huimimina. Hakika waovu wote wa duniani watakunywa mvinyo hadi tone la mwisho.
9Bali mimi nitaendelea kusema yale ambayo umeyatenda; nami nitamwimbia sifa Mungu wa Yakobo.

Read Zaburi 75Zaburi 75
Compare Zaburi 75:6-9Zaburi 75:6-9