Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 74

Zaburi 74:9-15

Help us?
Click on verse(s) to share them!
9Sisi hatuoni tena ishara; hakuna tena nabii, na hakuna yeyote miongoni mwetu ajuaye haya yatadumu kwa muda gani.
10Mpaka lini, Mungu, adui atakurushia wewe matusi? Je, atalitukana jina lako milele?
11Kwa nini umerudisha nyuma mkono wako, mkono wako wa kuume? Utoe mkono wako kwenye mavazi yako na uwaangamize.
12Lakini Mungu amekuwa mfalme wangu tangu enzi, akileta wokovu tuniani.
13Wewe uliigawa bahari; ulishambulia vichwa vya majitu ya kutisha baharini majini.
14Wewe ulishambulia vichwa vya lewiathani; na kumfanya awe chakula cha viumbe hai jangwani.
15Ulizifungulia chemchem na vijito; uliikausha mito itiririkayo.

Read Zaburi 74Zaburi 74
Compare Zaburi 74:9-15Zaburi 74:9-15