19Usimtoe njiwa afe kwa mnyama wa porini. Usiusahau milele uhai wa watu wako walio onewa.
20Kumbuka agano lako, maana majimbo ya giza ya nchi yamejaa maeneo ya vurugu.
21Usiwaache walioonewa warudishwe kwa aibu; uwaache maskini na walioonewa walisifu jina lako.
22Inuka Mungu, itetee heshima yako; kumbuka wajinga wanavyokutukana machana kutwa.
23Usisahau sauti ya adui zako au kelele za wale wanaoendelea kukuchafua.