Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 74

Zaburi 74:19-20

Help us?
Click on verse(s) to share them!
19Usimtoe njiwa afe kwa mnyama wa porini. Usiusahau milele uhai wa watu wako walio onewa.
20Kumbuka agano lako, maana majimbo ya giza ya nchi yamejaa maeneo ya vurugu.

Read Zaburi 74Zaburi 74
Compare Zaburi 74:19-20Zaburi 74:19-20