Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 74

Zaburi 74:15-23

Help us?
Click on verse(s) to share them!
15Ulizifungulia chemchem na vijito; uliikausha mito itiririkayo.
16Mchana ni wako, na usiku ni wako pia; uliweka jua na mwezi mahari pake.
17Umeiweka mipaka ya nchi; umeumba majira ya joto na majira ya baridi.
18Kumbula vile adui alivyo vurumisha matusi kwako, Yahwe, na kwamba watu wapumbavu wamelitukana jina lako.
19Usimtoe njiwa afe kwa mnyama wa porini. Usiusahau milele uhai wa watu wako walio onewa.
20Kumbuka agano lako, maana majimbo ya giza ya nchi yamejaa maeneo ya vurugu.
21Usiwaache walioonewa warudishwe kwa aibu; uwaache maskini na walioonewa walisifu jina lako.
22Inuka Mungu, itetee heshima yako; kumbuka wajinga wanavyokutukana machana kutwa.
23Usisahau sauti ya adui zako au kelele za wale wanaoendelea kukuchafua.

Read Zaburi 74Zaburi 74
Compare Zaburi 74:15-23Zaburi 74:15-23