Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 73

Zaburi 73:25-28

Help us?
Click on verse(s) to share them!
25Ni nani niliye naye mbinguni isipokuwa wewe? Hakuna nimtamaniye duniani isipokuwa wewe.
26Mwili wangu na moyo wangu huwa dhaifu, bali Mungu ndiye nguvu ya moyo wangu daima.
27Wale walio mbali nawe wataangamia; utawaangamiza wote wasio waaminifu kwako.
28Lakini mimi, linipasalo kufanya ni kumkaribia Mungu. Nimemfanya Bwana Yahwe kimbilio langu. Nami nitayatangaza matendo yako yote.

Read Zaburi 73Zaburi 73
Compare Zaburi 73:25-28Zaburi 73:25-28