Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 73

Zaburi 73:16-21

Help us?
Click on verse(s) to share them!
16Ingawa nilijaribu kuyaelewa mambo haya, yalikuwa ni magumu sana kwangu.
17Ndipo nilipoingia patakatifu pa Mungu na kuelewa hatma yao.
18Hakika wewe huwaweka penye utelezi; huwaangusha mpaka palipoharibika.
19Jinsi gani wamekuwa ukiwa kwa muda mfupi! Wamefika mwisho nao wamemaliza kwa utisho.
20Wao ni kama ndoto wakati wa mtu kuamka; Bwana, utakapo inuka, utazidharau ndoto zao.
21Maana moyo wangu ulipata uchungu, nami nilijeruhiwa sana.

Read Zaburi 73Zaburi 73
Compare Zaburi 73:16-21Zaburi 73:16-21