8Na awe na mamlaka toka bahari na bahari, na kutoka Mto hadi miisho ya dunia.
9Na wote waishio jangwani wainame mbele zake; adui zake na walambe mavumbi.
10Wafalme wa Tashishi na visiwa walete kodi; wafalme wa Sheba na Seba watoe zawadi.
11Hakika wafalme wote wamwinamie yeye; mataifa yote yamtumikie yeye.