Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 69

Zaburi 69:7-9

Help us?
Click on verse(s) to share them!
7Kwa ajili yako nimestahimili lawama; aibu imeufunika uso wangu.
8Nimekuwa mgeni kwa ndugu zangu, nisiye fahamika wala kuaminika kwa watoto wa mama yangu.
9Kwa maana bidii ya nyumba yako imenila, na laumu zao wanao kulaumu wewe zimeniangukia mimi.

Read Zaburi 69Zaburi 69
Compare Zaburi 69:7-9Zaburi 69:7-9