Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 69

Zaburi 69:1-2

Help us?
Click on verse(s) to share them!
1Uniokoe, Mungu; maana maji yameweka uhai wangu hatarini.
2Ninazama kwenye kina cha matope, pasipo na hahari pa kusimama; nimekuja kwenye kina kirefu cha maji, ambako mafuriko yananifunika.

Read Zaburi 69Zaburi 69
Compare Zaburi 69:1-2Zaburi 69:1-2