Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 68

Zaburi 68:31-34

Help us?
Click on verse(s) to share them!
31Wakuu watatoka katika Misri; Ethiopia itafanya haraka kuufikisha mkono wake kwa Mungu.
32Mwimbieni Mungu, enyi falme za nchi; Selah mwimbieni sifa Yahwe.
33Kwake yeye apitaye juu ya mbingu za mbingu, zilizokuwepo tangu zama za kale; tazama, yeye hupiga kelele kwa nguvu
34Tangazeni kuwa Mungu ni mwenye nguvu; enzi yake iko juu ya Israeli, na nguvu zake ziko angani.

Read Zaburi 68Zaburi 68
Compare Zaburi 68:31-34Zaburi 68:31-34