Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 67

Zaburi 67:4-7

Help us?
Click on verse(s) to share them!
4Oh, mataifa wafurahi na na kuimba kwa furaha, maana utawahukumu watu kwa haki na kuwaongoza mataifa walioko duniani.
5Watu wakushukuru wewe, Mungu; watu wote wakusifu wewe.
6Nchi imetoa mavuno yake na Mungu, Mungu wetu, ametubariki.
7Mungu ametubariki sisi, na miisho yote ya dunia itamuheshimu yeye.

Read Zaburi 67Zaburi 67
Compare Zaburi 67:4-7Zaburi 67:4-7