Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 66

Zaburi 66:14-19

Help us?
Click on verse(s) to share them!
14ambavyo midomo yangu iliahidi na kinywa changu kiliongea nilipokuwa katika dhiki.
15Nitakutolea sadaka ya kuteketezwa ya wanyama wanene pamoja na harufu nzuri ya kondoo waume; Nitatoa ng'ombe na mbuzi. Selah
16Njoni, msikie, ninyi nyote mnao mwabudu Mungu, nami nitatangaza yale yeye aliyoitendea roho yangu.
17Nilimlilia kwa kinywa changu, naye alipendezwa na ulimi wangu.
18Kama ningelikuwa na dhambi ndani ya moyo wangu, Bwana asingenisikiliza.
19Lakini Mungu hakika amesikia; amesikia sautiya kuomba kwangu.

Read Zaburi 66Zaburi 66
Compare Zaburi 66:14-19Zaburi 66:14-19